Nahisi nina bahati mbaya kipi nilicho kosea
Nikijaribu kutafuta shida ndo zinakolea
Mifukoni hali mbaya sio kama najitetea
Ile pesa ya kusuka mbona nilikuletea
Mawazo yani yananikolea
Nikupe nini usijepotea
Ndubura yani inanyong’onyea
Lilinde penzi lisije teketea
Vitunguu mboga za majani laki tano kwenye
genge
Nyama tu nikupe million kwani unapika
kenge
Si jana tu nimelipa pochi na doti za vitenge
Viatu juu ulivyojumua kama una duka
mwenge
Chuma ulete chuma ulete
Usiwe chuma ulete
Nisije kubadili jina ninakuita Chuma Ulete
Chuma ulete mama chuma ulete
Usiwe chuma ulete
Nisije kubadili jina ninakuita Chuma Ulete
Pesa sio nguvu za milundi kunyenyua jiwe
juu chini
Tukitoka unakuja na kundi gharama zote juu
yangu mimi
Unanasa pesa kama gundi sasa mimi
nitumie nini
Kila siku kushona kwa fundi kama mpambaji
wa shuhulini
Eti nguva inaita mara mapande sita
Mshazali umeshika hakuna fashion inakupita
eeh
Juzi ulikunja ndita wataka mchele tani sita
Mama mbona unanitisha kwani unafutulisha
Mawazo yani yananikolea
Nikupe nini usijepotea
Ndubura yani ninanyong’onyea
Lilinde penzi lisije teketea
Vitunguu mboga za majani laki tano kwenye
genge
Nyama tu nikupe million kwani unapika
kenge
Si jana tu nimelipa pochi na doti za vitenge
Viatu juu ulivyojumua kama una duka
mwenge
Chuma ulete chuma ulete
Usiwe chuma ulete
Nisije kubadili jina ninakuita Chuma Ulete
Chuma ulete mama chuma ulete
Usiwe chuma ulete
Nisije kubadili jina ninakuita Chuma Ulete
Ray Vanny “Chuma Ulete” Lyrics
RELATED POSTS
Ray Vanny “Siri” (ft Niki Wa Pili) | Lyrics
Nimeanza safari ya mapenzi na wewe
Usiikatishe eeh Mungu mwema Baba
Mbali atufikishe eeh
Mimi ni Binadamu nakosea
Nikiteleza usiuzunike eeh
Milele mwanadada nikifa unizike
Kutoka kwenye uvungu wa moyo...
Ray Vanny “Unaibiwa” Lyrics
Verse 1
Usidate na njonjo za mapenzi
vicheko bandia usoni kudeka
Kumbe ana pretend
Maufundi toka tanga na zenji
Vionjo mitego unase
Ashike pochi umwage chenji
Anakuchanganya kiunoni shanga
Marashi kama uko...
Ray Vanny “Mbeleko” Lyrics
Wasafiii
Mmmmh
Alisemanga dunia ina mapambo yake eeh
Ukiacha majumba pesa magari ni wanawake
eeh
Nimezunguka aah, nimefika kwake eeh
Siwezificha nimeshanasa
Kwa pendo lake eeh
Halabaani
Kakuumba kimwana, mwenye sifa ya upole
Ata...
WHAT'S NEW
Dj Dis Boy 255tz – Singeli Mixtape Download
Dj Dis Boy 255tz – Singeli Mixtape Vol 5 Download
DOWNLOAD
Teko Cocoon ft Awicko – Oromogo Mp3 Download
Teko Cocoon ft Awicko – Oromogo Mp3 Download
DOWNLOAD
Seneta Kilaka – Mchepuko Mp3 Download
Seneta Kilaka – Mchepuko Mp3 Download
DOWNLOAD
P Mawenge – Upande Wa Pili Mp3 Download
P Mawenge – Upande Wa Pili Mp3 Download
DOWNLOAD
SHAQ – Shangala Mp3 Download
SHAQ – Shangala Mp3 Download
DOWNLOAD
Lamu – Double It Mp3 Download
Lamu – Double It Mp3 Download
DOWNLOAD
Dena Mwana – Lindanda (Na Na Na) Mp3 Download
Dena Mwana – Lindanda (Na Na Na) Mp3 Download
DOWNLOAD