Music Lyrics

Amina Lyrics by Sanaipei Tande

download

Amina Lyrics by Sanaipei Tande

Aaaaah aaaaah aaah aaah
aaaaah aaaaah, aaaaah aaaaaah
Ooh mama, panguza chozi
Siyatafakari vita vya juzi
Si kupenda kwangu kukuudhi
Ila tu ujana haubagui
Dada panguza chozi
Sijitie lawama kwa uzushi
Kwani vita kati ya mandugu si ya firauni
Wakati hauniruhusu mi
Kurekebisha yangu madhambi
Kwa hivyo nawaomba siku hii
Nikumbukie mazuri
Mi nataka mucheke siku ya mwisho
Siwe mpweke mi bado niko
Namshukuru Mola kwa kuwepo
Nasema Amina
Amina amina A A amina
Amina amina A A amina
Amina amina A A amina
Amina amina
Ooh mpenzi panguza chozi
Sijijaze chuki wewe moyoni
Hasira hasara
Yote ya mwenyezi
Oh rafiki panguza chozi
Sijiumize we kichwa na maswali
Utansamehe sana kwenda bila mkono wa
buriaani
Wakati hauniruhusu mi
Kurekebisha yangu madhambi
Kwa hivyo nawaomba siku hii
Nikumbukie mazuri
Mi nataka mucheke siku ya mwisho
Siwe mpweke mi bado niko
Namshukuru Mola kwa kuwepo
Nasema Amina
Amina amina A A amina
Amina amina A A amina
Amina amina A A amina
Amina amina
Ooh sina sina sina sina
Nafasi nyingine, Ya kuwa na wewe
Nasikitika mi naumia
Lakini nina nina nina nina
Shukrani moyoni, yakuwa miongoni
mwa walo nienzi mi
Wakati hauniruhusu mi
Kurekebisha yangu madhambi
Kwa hivyo nawaomba siku hii
Nikumbukie mazuri
Mi nataka mucheke siku ya mwisho
Siwe mpweke mi bado niko
Namshukuru Mola kwa kuwepo
Nasema Amina
Amina amina A A amina
Amina amina A A amina
Amina amina A A amina
Amina amina ×2

Amina Lyrics, Sanaipei Tande

download Nyimbo mpya

Leave a Reply