Kijuso Lyrics By Rayvanny ft Queen Darleen

download

Kijuso Lyrics By Rayvanny ft Queen
Darleen

Queen Darleen “Kijuso” (ft Ray Vanny)

Intro

Eyoo Laizer
Wasafi Records

Verse 1 –

Unaringa kitu gani we mwenyewe ujisute
Afadhali hata Nyani sio we Mwanamke
Hupendezi asilani so unyoe au usuke
Nilifuata kitu gani umefanya nijute
Hah
Mimi nakonda pungua eeeh na
usikurupuke
Kwanza naongea na nani naomba
nikumbushe
Mimi na wewe hatuendani jipandishe
jishushe
Usinipande kichwani namba yangu ifute

Chorus

Hizo dharau mwanamke ulopata
Naona unasahau .. zako nilikata
Nimepanda chati mkataba nimekata
Tena Nyang’au ndo ukome kunifuata
Unaringa una nini kijuso
Vijimeno kama Jini Gaucho
Kwani nawe una nini Kituko
Uso na kazi mjini Upo upo
Punguza kelele ooh kelele acha kelele
mama kelele
Punguza kelele baba kelele acha kelele
bwana kelele

Verse 2

Eti nawe unavimba perfume tu mtihani
Kwanza shati ulovaa umeazima kwa nani?
Wanifuataa Kapuku utanipa nini?
Wanifuataa leo kimekuwasha nini?
Funga bakuli mbele yangu wewe mshamba
Nakujua vizuri toka unavaa mabwanga
Wakati unanuka moshi huna hata ishu
Kwenye pochi wanja na tishu
Unapenda ganda la ndizi kuteleza
Wakati kupambana mpaka mchuzi wa
Pweza
Dume zima tantalantala instagram inahu
Wakati kwenu kula kulala huchangii hata
kitunguu

Chorus

Hizo dharau mwanamke ulopata
Naona unasahau .. zako nilikata
Nimepanda chati mkataba nimekata
Tena Nyang’au ndo ukome kunifuata
Unaringa una nini kijuso
Vijimeno kama Jini Gaucho
Kwani nawe una nini Kituko
Uso na kazi mjini Upo upo
Punguza kelele ooh kelele acha kelele
mama kelele
Punguza kelele baba kelele acha kelele
bwana kelele
Unaringa una nini kijuso
Sijui meno kama Jini Gaucho
Kwani nawe una nini Kituko
Uso na kazi mjini Upo upo
Punguza kelele ooh kelele acha kelele
mama kelele
Punguza kelele baba kelele acha kelele
bwana kelele

download Nyimbo mpya