Nyimo Zilizobaniwa Kuchezwa Tanzania

download

Nyimbo 15 maarufu za wasanii tajika Tanzania zimepigwa marufuku kuchezwa kwenye runinga na pia redioni. Kati ya wasanii walio kwenye listi ni ikiwemo rais wa wasafi Diamond Platinumz,na kiongozi wa Free Nation,Nay Wa Mitego.

Kwa mujibu wa TCRA,nyimbo hizo hazina maudhui na maadili kwa utamaduni wa mtanzania na zilishafungiwa na BASATA.

BASATA wametibitisha kuzipiga marufuku na kazi ya kuzifungia ni ya TCRA.

TCRA imeviandikia barua vituo vyote vya redio na Tv kutozicheza nyimbo hizo.

  1. Hallelujah – Diamond
  2. Waka waka – Diamond
  3. Kibamia – Roma
  4. Pale Kati – Nay
  5. Maku – Nay
  6. Hainaga Ushemeji – Manfongo
  7. I am sorry JK – Nikki Mbishi
  8. Chura – Snura
  9. Nimevurugwa – Snura
  10. Tema mate – Madee
  11. Uzuri wako – Jux
  12. Nampa papa – Gigy Money
  13. Nampaga – Barnabas
  14. Bongo bahati mbaya – Young Dee
  15. Mikono juu – Nay

Nyimbo hizi zimepigwa marufuku hazitakiwi kwenye vituo vyote vya Redio na TV.


Do you have a story you want told? Do you know of a sensitive story you would like us to get our hands on? Email your news TIPS to admin@vibemtaani.com

download Nyimbo mpya